JUSTIN BIEBER AMWAGA RADHI STEJINI
Hitmaker wa Baby, Justin Bieber aliuduwaza umati wa watu
uliohudhuria onyesho la mavazi na muziki ‘Fashion Rocks’ usiku wa
Jana(Septemba 09) kwenye ukumbi wa Barclays Center baada ya kusaula kila
kitu stejini na kubakiwa na nguo ya ndani aina ya Boksa iliyotengenezwa
na kampuni ya Calvin Klein..
Bieber mwenye miaka 18 alifanya kituko hicho baada ya kupanda
stejini na mwanamitindo Lara Stone kwa ajili ya kumkaribisha
mwanamuziki Rita Ora lakini ghafla akaanza kwa kusema, “I actually don’t feel comfortable unless I’m in my Calvins.” na kisha akaanza kuvua nguo moja baada ya nyingine huku akitazamwa watu.
”Grandma always said kill ‘em with kindness…and then strip on live national tv. Lol.’‘ aliandika Bieber kwenye mtandao wa Twitter na kukanusha kuwa kitendo alichofanya hakikupangwa.
JUSTIN BIEBER AMWAGA RADHI STEJINI
Reviewed by crispaseve
on
06:35
Rating:

Post a Comment