PICHA ZA MAZISHI YA MCHEKESHAJI JOAN RIVERS
Joan Rivers
Mastaa na watu mbalimbali mashuhuri walijumuika na
waombolezaji wengine jumapili iliyopita(Septemba 07) katika kutoa
heshima zao za mwisho kwa mchekeshaji nyota, Joan Rivers aliyefariki
Dunia Alhamisi mchana kwenye hospitali ya Mount Sinai mjini New York
akiwa na umri wa miaka 81.
Kathy Griffin, Whoopie Goldberg, Sarah Jessica Parker na
bilionea Donald Trump ni miongoni mwa mastaa waliopata nafasi ya
kuhudhuria msibani na kumuaga marehemu Joan Rivers katika jengo la
Temple Emanu-El na kuzikwa kwa heshima zote kama vile alivyoagiza enzi
za uhai wake.
Muigizaji mkongwe, Whoopi Goldberg alikuwepo pia
Muigizaji wa kike, Sarah Jessica Parker na mumewe Matthew Broderick na Rosie O’Donnel
Muigizaji Allan Cumming akielekea kutoa heshima zake za mwisho kwa marehemu
Mtoto wa Marehemu, Melissa akiwa na mwanae wa kiume katika kumuaga marehemu mama yake
Mwili wa Marehemu Joan Rivers ukiwa umebebwa
Bilionea Donald Trump akielekea kutoa heshima zake za mwisho
Mchekeshaji Rosie O’Donnell akiteta mawili matatu na waombolezaji
Waombolezaji wakiwa katika jengo la Temple Emanu-El wakisubiria kutoa heshima zao za mwisho
Mtangazaji wa Us Talk Show, Andy Cohen akiwasili kwenye viunga vya Temple Emanu-El
Mbunifu wa mavazi, Carolina Herrera
Kikundi cha kutumbuiza kikifanya yake msibani
Mtangazaji wa NBC, Chuck Scarborough na mkewe msibani
PICHA ZA MAZISHI YA MCHEKESHAJI JOAN RIVERS
Reviewed by crispaseve
on
06:33
Rating:

Post a Comment