6TH ANNIVERSARY GROOVEBACK PARTY 2014 YAFANA NA BIA YA WINDHOEK DRAUGHT NDANI YA THE ARCADE HOUSE.
Meneja
Biashara wa Bia ya Windhoek Joseph Boniface akielezea kuhusiana na
Grooveback Party ambayo wao wamekuwa wadhamini wakuu kwa mwaka 2014
katika kutimiza miaka sita ya Grooveback
Wa
pili kushoto ni Msimamizi wa Windhoek Salum Kabanda akielezea ni jinsi
gani wanavyotoa fursa kwa vijana na kuweza kuitumia hususani kwa
wanamuziki ambapo wanaandaa matamasha mbalimbali na kuweza kuwa
wadhamini wakuu hivyo kuwapa changamoto vijana kwa kuweza kuandaa
michanganuo mbalimbali ya kazi kuifikisha kwao na kuifanyia kazi kwa
kuwasaidia.
Wahudumu
wa The Arcade wakiwa katika Pouzi wakati wakiwahudumia wateja wao
waliofika katika Sherehe ya Miaka Sita ya Grooveback iliyofanyia jana
Dj JB akiendelea kumwaga Burudani ya nguvu ya ngoma za Zamani na kukuna nyoyo za watu wengi waliofika katika Sherehe hiyo.
Wapambe wa Windhoek wakiwa wanapata Picha ya pamoja wakati wa Sherehe ya kuadhimisha Miaka sita ya Grooveback
Wadau
Mbalimbali wa Mabibo Beer and Wine wakiwa wanapata Kinywaji cha aina ya
Windhoek Draught huku Burudani ya nguvu ikiendelea kutoka kwa Dj JB
Dj Nijo ambaye aliingia kwa awamu ya pili na kubadirisha radha ya muziki wa Lingara zile za Kitambo na kukonga nyoyo za wengi
6th Anniversary Grooveback Party 2014 Cheers ! na Windhoek Draught
Party ikiwa inaendelea huku Windhoek Draught zikiwa zimezagaa kwa kila Meza!
Dj
Pierra Kutoka Nchini Kenya nae hakuwa nyuma kuendeleza Burudani ya
Muziki kwa ajili ya Kusherekea Grooveback Party iliyotimizia Miaka sita
Ni mwendo wa ku party.....
6TH ANNIVERSARY GROOVEBACK PARTY 2014 YAFANA NA BIA YA WINDHOEK DRAUGHT NDANI YA THE ARCADE HOUSE.
Reviewed by crispaseve
on
08:09
Rating:

Post a Comment