MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA YATOA ELIMU KWA VIONGOZI WA SACCOS ZA WAJASIRIAMALI MANSIPAA YA ILALA

Mkugenzi wa CHF Bima ya Afya, Bw.Rehan Athumani
(katikati) akifungua semina ya siku tatu Januari 21, 2015 jijini Dar es
Salaam ya viongozi wa SACCOS za wajasiriamali zilipo Mansipaa ya Ilala
iliyoandaliwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) lengo la semina
hiyo kuwapa elimu viongozi hao kuhusu Mfuko Taifa wa Bima ya Afya ili
wapeleke ujumbe kwa wanachama wa SACCOS waweze kujiunga na mfuko huo
(kushoto) Afisa Ushirika Mansipaa ya Ilala, Ladislaus Mwamanswao (kulia)
Meneja wa CHF Bima ya Afya, Costantine Makala.

Afisa Matekelezo wa NHIF, Godfrey Tumaini akiwakilisha
mada yake kuhusina mpango wa kikoa ambapo amesema mpango huo ni mpya na
umeanzishwa kwa malengo ya kukidhi haja ya kundi la watu wa kati ambao
hawawezi kujilipia bima kama watu binafsi na hawaridhiki kujiunga katika
mfumo wa CHF katika mfuko huo.

Afisa Matekelezo NHIF Mansipaa ya Ilala, Hipoliti
Lello akisisitiza jambo wakati wa semina ya siku tatu Januari 21, 2015
jijini Dar es Salaam ya viongozi wa SACCOS za wajasiriamali zilipo
Mansipaa ya Ilala iliyoandaliwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF)
lengo la semina hiyo kuwapa elimu viongozi hao kuhusu Mfuko Taifa wa
Bima ya Afya ili wapeleke ujumbe kwa wanachama waweze kujiunga na mfuko
huo.

Afisa Matekelezo na Uratibu NHIF, Catherine Masinisa
akielezea sheria za Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) wakati wa
semina hiyo.

Mshiriki wa Semina hiyo, Juliana Richard akichangia mada.

Viongozi wa SACCOS wakipitia vipeperushi.


Viongozi mbalimbali wa SACCOS wakifuatilia mada wakati wa semina hiyo iliyoandaliwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF)
MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA YATOA ELIMU KWA VIONGOZI WA SACCOS ZA WAJASIRIAMALI MANSIPAA YA ILALA
Reviewed by crispaseve
on
09:28
Rating:
Reviewed by crispaseve
on
09:28
Rating:

Post a Comment