JAJI KIONGOZI ATOA SOMO KWA WATUMISHI WA MAHAKAMA, VYAMA VYA WAAJIRI NA WAAJIRIWA.
Jaji
Kiongozi wa Mahakama ya Tanzania Mhe. Shaaban Lila akifungua mkutano
maalum wa watendaji wa Mahakama Kuu Divisheni ya Kazi, Chama cha waajiri
Tanzania (ATE) na Wafanyakazi (TUCTA) leo jijini Dar es salaam. Mkutano
huo unalenga kuangalia na kutafuta majibu ya changamoto mbalimbali
zinazohusu maslahi ya wafanyakazi na mashauri yanayopelekwa mahakama Kuu
Divisheni ya Kazi nchini.
Baadhi
ya washiriki wa mkutano maalum wa watendaji wa Mahakama Kuu Divisheni
ya Kazi, Chama cha waajiri Tanzania (ATE) na Wafanyakazi (TUCTA)
wakifuatilia masuala mbalimbali leo jijini Dar es salaam.
JAJI KIONGOZI ATOA SOMO KWA WATUMISHI WA MAHAKAMA, VYAMA VYA WAAJIRI NA WAAJIRIWA.
Reviewed by crispaseve
on
14:20
Rating:

Post a Comment