Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akikata utepe kama ishara ya ufunguzi wa Jengo
la Afisi Kuu ya Uhamiaji Zanzibar leo Kilimani Mjini Zanzibar
akimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho
Kikwete (kutoka kushoto) Kamishna Mkuu wa UhamiajiTanzania Sylvester Ambokile Mwakinyule na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Perera A.Silima.

Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(katikati) akiangalia hatua za utengenezaji wa PassPort za Uraia wa
Tanzania wakati alipotembelea sehemu mbali mbali baada ya kulifungua
Jengo la Afisi Kuu ya Uhamiaji Zanzibar leo Kilimani Mjini Zanzibar
akimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho
Kikwete (kushoto) Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Perera
A.Silima na (kulia) Inspekta wa Uhamiaji Hassan Suleiman Ameir.[Picha na
Ikulu].
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(wa pili kulia) akipata maelezo kutoka kwa Asistance Inspekta Khamis Ali
Haji (katikati)wakati alipotembelea katika chumba cha kumbukumbu za
picha kwa Wananchi walioomba Passpoti za Uraia baada ya kulifungua Jengo
la Afisi Kuu ya Uhamiaji Zanzibar leo Kilimani Mjini Zanzibar
akimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho
Kikwete.
Post a Comment