SERIKALI YADHAMIRIA KUKAMILISHA MIRADI YA KITAIFA YA KIMKAKATI
| Add caption |
Waziri wa nchi (Ofisi ya Rais) Mahusiano na Uratibu, Mhe. Dkt. Mary Nagu akiwasilisha
Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2015/16 Katika Kamati ya Mpango
ya Bunge Zima kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere
jijini Dar es salaam.
Waziri wa nchi (Ofisi ya Rais) Mahusiano na Uratibu, Mhe. Dkt. Mary Nagu akiwasilisha
Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2015/16 Katika Kamati ya Mpango
ya Bunge Zima kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere.

Baadhi
ya Wabunge wakifuatilia kwa makini hotuba ya uwasilishaji wa Mpango wa
Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2015/16 Katika Kamati ya Mpango ya Bunge
Zima.
Katibu
Mtendaji wa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Dkt. Philip Mpango (Kulia)
akimpongeza Waziri wa nchi (Ofisi ya Rais) Mahusiano na Uratibu, Mhe.
Dkt. Mary Nagu (Kushoto) mara baada ya kuwasilisha Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2015/16 Katika Kamati ya Mpango ya Bunge Zima.
Naibu Katibu Mtendaji (Sekta za Uzalishaji) kutoka Ofisi
ya Rais, Tume ya Mipango, Bw. Maduka Kessy (Kulia) akimpongeza Waziri
wa nchi (Ofisi ya Rais) Mahusiano na Uratibu, Mhe. Dkt. Mary Nagu
(Kushoto) mara baada ya kuwasilisha Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2015/16 Katika Kamati ya Mpango ya Bunge Zima.
Naibu
Katibu Mtendaji (Huduma za Jamii na Idadi ya Watu), Bibi Florence
Mwanri (Kushoto) akiongea na Katibu wa Bunge, Dkt. Thomas Kashilila
(Kulia) mara baada ya uwasilishaji wa Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa
Mwaka 2015/16 Katika Kamati ya Mpango ya Bunge Zima. Anayewasikiliza ni
Naibu Katibu Mtendaji (Sekta za Uzalishaji) kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Bw. Maduka Kessy.
SERIKALI YADHAMIRIA KUKAMILISHA MIRADI YA KITAIFA YA KIMKAKATI
Reviewed by crispaseve
on
02:27
Rating:

Post a Comment