Header AD

MJADALA WA BAJETI YA OFISI YA MAKAMU WA RAIS WAFANYIKA DAR ES SALAAM

Katibu wa Baraza la Wafanyakazi Ofisi ya Makamu wa Rais, Bwana Isaya Kisiri (wa pili kushoto), Katibu Msaidizi wa Baraza hilo, Bi Martha Tupa (wa kwanza kushoto), Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Bwana Sazi Salula na Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Bi Angelina Madete wakifuatilia kwa umakini mjadala wa Bajeti ya Ofisi ya Makamu wa Rais katika Ukumbi wa Hazina jijini Dar es Salaam, leo.( Picha na OMR)
02
Katibu wa Baraza la Wafanyakazi Ofisi ya Makamu wa Rais, Bwana Isaya  Kisiri (kulia), akisikiliza kwa umakini  mjadala wa bajeti ya Ofisi ya Makamu wa Rais katika Ukumbi wa mikutano wa Hazina jijini Dar es Salaam, leo.  Katikati ni Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Bwana Sazi Salula na wa kwanza kushoto ni Naibu Katibu Mkuu  wa Ofisi hiyo, Bi Angelina Madete.
MJADALA WA BAJETI YA OFISI YA MAKAMU WA RAIS WAFANYIKA DAR ES SALAAM MJADALA WA BAJETI YA OFISI YA MAKAMU WA RAIS WAFANYIKA DAR ES SALAAM Reviewed by crispaseve on 10:51 Rating: 5

No comments

Post AD