RAIS WA ZANZIBAR DKT SHEIN AMUAPISHA WAZIRI WAZIRI MPYA WA MIUNDOMBINU BAADA YA WA AWALI KUTANGAZA KUJIUZULU JUZI
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein, akimuapisha Rashid Seif Suleiman, kuwa Waziri wa Miundombinu na Mawasiliano, wakati wa hafla fupi iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar jana
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein, akimuapisha Sheikh Daudi Khamis Salim, kuwa Kadhi wa Rufaa Pemba, wakati wa hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar jana.
Reviewed by crispaseve
on
06:23
Rating:
Post a Comment