Header AD

LIVE KUTOKA KANISA LA KASHOZI MAHADHIMISHO YA KUAMISHA MWILI WA MWADHAMA KARDINAL LAUREAN RUGAMBWA .

Anaonekana Baba Askofu Msaidizi wa Kanisa Katoliki Jimbo la Bukoba, Methodius Kilaini mara tu baada ya kukagua gari litakalo tumika kubebe mwili wa marehemu Kardinali Rugambwa
Muonekano wa ndani ya Gari.
Muonekano wa gari litakalo ubeba mwili wa Marehemu Kardinali Rugambwa likiwa tayari limepambwa Maua.
Mtangazaji wa kipindi cha dini, TBC katika kuwajibika
Mzee Dioniz Malinzi akiteta jambo na Askofu Kilaini.
Kila baada ya muda ndivyo wanavyozidi kuwasili Viongozi mbalimbali wa dini .

Kikundi cha Ngoma kutoka nchini Rwanda kikiendelea na mashamsham katika mahadhimisho haya.
Shamrashamra za hapa na pale zikiendelea.
Wadau na waumini wakikiristo wakifurahia burudani ya ngoma kutoka Nchini Rwanda.
Watu na matukio,hapa waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari wakiwajibika
Bukobawadau blog tupo kuakisha unapata kile kinachostahili live.
Picha zaidi zinaendelea tukiwa moja kwa moja kanisani, na ratiba inaonyesha ibada itaendelea mpaka saa 7, na kufuatiwa na chakula cha mchana baada ya hapo ni maandamano kuelekea kanisa kuu Mjini Bukoba tayari kwa mazishi mida ya saa kumi alasili.
Mwili wa Kardinali Rugambwa ulipo, kabla ya muda wa kutabaruku
Ndani ya kanisa muda mchache kabla ya Ibada.
Waumini wakisikiliza , historia ya marehemu inayo endelea kutolewa
KWA TARIFA RASMI SHUGHULI HII ITAHUDHULIWA NA WAZIRI MKUU MH.MIZENGO PINDA AMBAYE ATAWASILI MJINI HAPA MAJIRA YA SAA 9.. KWA HISANI YA BUKOBA WADAU BLOG
Reviewed by crispaseve on 10:16 Rating: 5

No comments

Post AD