MHANDO WA TANESCO ATIMULIWA KAZI RASMI
Bodi ya wakurugenzi ya shirika la Ugavi na
Usambazaji Umeme nchini Tanzania (Tanesco) imefikia maamuzi ya kumwachisha kazi
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika hilo Mhandisi, William Geofrey Mhando kuanzia Oktoba
29, mwaka huu. Taarifa kamili ya kwa Umma kutoka Bodi hiyo hii hapa
chini:-
Reviewed by crispaseve
on
09:38
Rating:
Post a Comment