Yule dada yetu msanii maarufu wa
nyimbo za bongo wa fleva jana ameweka bayana ya kuwa yeye na shetani
sasa ni paka na panya. Amethibitisha hayo katika post zake za
instagram. Wambea hatuna maneno mengi zaidi ya kusema angalia picha
hizo na wote tuseme AMEN umechagua njia njema.
Post a Comment