Leo Oktoba 2, ni siku ya kuzaliwa staa wa Bongoflava, Nasibu
Abdul ‘Diamond Platnumz’. Juu ni baadhi ya comments za mashabiki wa
msanii huyo za kumtakia kila la kheri katika siku yake ya leo
zilizotumwa katika akaunti yake ya Instagram.
Bamizablog inamtakia kila la kheri Diamond Platnumz
Post a Comment