Msanii mahiri wa
muziki wa kizazi kipya, Khaleed Mohamed ‘TID’ yupo mahabusu katika Kituo
cha Polisi Oysterbay tangu jana usiku baada ya kukamatwa na polisi kwa
tuhuma za kumpiga na kumjeruhi msichana anayedaiwa kuwa ni mpenzi wake,
Mariam Nnauye.ik
TID ASWEKA RUMANDE NA BABY WAKE
Reviewed by crispaseve
on
22:24
Rating: 5
Post a Comment