ZIARA YA WAZIRI MKUU WA FINLAND NCHINI
Waziri Mkuu wa Ufini, Jyrki Katainen akikagua gwaride la heshima
lililoandaliwa wakati wa mapokezi Ikulu, Dar es Salaam. Waziri Mkuu huyo
atakuwa nchini kwa ziara ya siku mbili. (PICHA ZOTE NA RICHARD
MWAIKENDA)
JK NA MWENYEJI WAKE WAKIPIGIWA WIMBO WA TAIFA
Mizinga ikipigwa kwa heshima ya waziri mkuu huyo.
Rais Jakaya Kikwete akizungumza wakati wa mkutano wa pamoja kati ya ujumbe wa Waziri Mkuu wa Ufini (Finland), Jyrki Katainen na ujumbe wa Tanzania, Ikulu, Dar es Salaam
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Asiye na Wizara Maalum), Profesa Mark Mwandosya (kulia) akizungumza na Waziri Mkuu wa Ufini, Jyrki Katainen wakati wa mdahalo wa majadiliano ya ushirikiano baina ya nchi za Afrika na Ulaya ulioandaliwa na Taasisi ya Uongozi jijini Dar es Salaam. Profesa Mwandosya alimwakilisha Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.
Wadau wakiwa katika mdahalo wa majadiliano ya ushirikiano baina ya nchi za Afrika na Ulaya ulioandaliwa na Taasisi ya Uongozi jijini Dar es Salaam. Mkutano huo uliwashirikisha wadau wa Tanzania na Ufini
JK NA MWENYEJI WAKE WAKIPIGIWA WIMBO WA TAIFA
Mizinga ikipigwa kwa heshima ya waziri mkuu huyo.
Rais Jakaya Kikwete akizungumza wakati wa mkutano wa pamoja kati ya ujumbe wa Waziri Mkuu wa Ufini (Finland), Jyrki Katainen na ujumbe wa Tanzania, Ikulu, Dar es Salaam
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Asiye na Wizara Maalum), Profesa Mark Mwandosya (kulia) akizungumza na Waziri Mkuu wa Ufini, Jyrki Katainen wakati wa mdahalo wa majadiliano ya ushirikiano baina ya nchi za Afrika na Ulaya ulioandaliwa na Taasisi ya Uongozi jijini Dar es Salaam. Profesa Mwandosya alimwakilisha Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.
Wadau wakiwa katika mdahalo wa majadiliano ya ushirikiano baina ya nchi za Afrika na Ulaya ulioandaliwa na Taasisi ya Uongozi jijini Dar es Salaam. Mkutano huo uliwashirikisha wadau wa Tanzania na Ufini
ZIARA YA WAZIRI MKUU WA FINLAND NCHINI
Reviewed by crispaseve
on
13:00
Rating:
Post a Comment