PICHA ZA HARUSI YA KIMILA YA PAUL OKOYE WA PSQUARE NA ANITA.
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, msanii wa muziki nchini Nigeria,
Paul Okoye anayeunda kundi la Psquare, hatimaye amefunga ndo na mchumba
wake wa muda mrefu, Anita Isama.
Wapendanao hao wamefunga ndoa ya kimila leo iliyofanyika Aztech Arcum, Portharcourt eneo la Riverside nchini humo.
Katika sherehe hiyo iliyohudhuria na mastaa pamoja na watu
mashuhuri, Olamiju Alao – Akala ndiye alikuwa msimamizi wa kiume ‘Best
man’ wa Paul. Hii inakuwa ni ndoa ya pili kwa memba wa Psquare, ukiacha
ile ya Peter aliyofunga mwaka jana.
|
|||
![]() |
|||
|
PICHA ZA HARUSI YA KIMILA YA PAUL OKOYE WA PSQUARE NA ANITA.
Reviewed by crispaseve
on
01:36
Rating:
Post a Comment