Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kwenye Mazishi ya Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tupa,
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiweka mchanga katika kaburi la aliyekuwa
Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tupa, kwenye mazishi yaliyofanyika nyumbani kwa marehemu, Kilosa Machi 29, 2014.
Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tupa, kwenye mazishi yaliyofanyika nyumbani kwa marehemu, Kilosa Machi 29, 2014.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiweka shada la maua kwenye kaburi la
aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tupa katika mazishi yaliyofanyika nyumbani kwa Marehemu, Kilosa, Machi 29, 2014.
aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tupa katika mazishi yaliyofanyika nyumbani kwa Marehemu, Kilosa, Machi 29, 2014.
Waziri
Mkuu,Mizengo Pinda akimfariji Mzee Gabriel Tupa baba mzazi wa
aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tupa katika mazishi yaliyofanyika
nyumbani kwa marehemu Kilosa achi 29, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kwenye Mazishi ya Mkuu wa Mkoa wa Mara, John Tupa,
Reviewed by crispaseve
on
16:05
Rating:
Post a Comment