Header AD

Picha na Taarifa:Serikali imeweka mikakati madhubuti kupambana na magonjwa yasiyoambukiza hapa nchini



 Meneja Masoko  na Elimu kwa Umma  toka  Mfuko  wa Taifa wa Bima ya Afya ( NHIF) Bi Anjela Mziray akiwaeleza waandishi wa habari leo Jijini Dar es salaam kuhusu programu ya upimaji wa Afya kwa wananchi kwa magonjwa yasiyoambukiza inayoendeshwa na mfuko huo hapa nchini.kulia ni Meneja Uhakiki na Madai wa mfuko huo Dk.Clement Masanja na kushoto ni Afisa habari ,Idara ya Habari Maelezo  Bi Fatma Salum.
Picha na Taarifa:Serikali imeweka mikakati madhubuti kupambana na magonjwa yasiyoambukiza hapa nchini Picha na Taarifa:Serikali imeweka mikakati madhubuti kupambana na magonjwa yasiyoambukiza hapa nchini Reviewed by crispaseve on 15:28 Rating: 5

No comments

Post AD