Header AD

Waandishi Wamjulia Hali Mwandishi Mwandamizi Pemba.


Waandishi wakiwasili Kijiji kwa Maangwi Kiongoni Shegejuu wilaya ya Wete , kulia Juma Mmanga , Mwarab Mmadi (StarsTV) 
                       Wandishi wakisalimiana na Shekh Masoud Sanani walipowasili Kijijini kwao


Shekh. Masoud Sanani akizungumza na waandishin waliofika kumtembelea kujua hali yake, wakati akipata matibabu, kijiji kwao Maangwi Kisongoni Shegejuu Wilaya ya Wete Pemba, aliyesimama ni Ndg. Juma Mmanga.
Waandishi Wamjulia Hali Mwandishi Mwandamizi Pemba. Waandishi Wamjulia Hali Mwandishi Mwandamizi Pemba. Reviewed by crispaseve on 15:26 Rating: 5

No comments

Post AD