Header AD

Ufunguzi wa baraza la wafanyakazi jijini Dar

Katibu Mkuu,Ofisi ya Makamu wa Rais Bw.Sazi Salula (katikati) akifungua rasmi kikao cha Baraza la wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais kilichofanyika Karimjee jijini Dar es Salaam leo hii kulia ni Naibu katibu Mkuu  Eng. Angerina Madete, na wa kwanza kushoto Katibu wa Baraza Bw. Isaya Kisiri.
 Sehemu ya wajumbe wa baraza la wafanyakazi toka Ofisi ya Makamu wa Rais wakimsikiliza Katibu Mkuu Bw. Sazi Salula wakati wa ufunguzi wa Baraza la wafanyakazi kikao hicho kimefanyika leo katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam.
Ufunguzi wa baraza la wafanyakazi jijini Dar Ufunguzi wa baraza la wafanyakazi jijini Dar Reviewed by crispaseve on 04:35 Rating: 5

No comments

Post AD