Header AD

MHASHAMU BABA ASKOFU MKUU MTEULE DAMIAN DENIS DALLU APOKEWA KWA SHANGWE SONGEA


 
 Mhashamu Baba Askofu mkuu mteule Damian Denis Dallu akiwa kwenye gari la wazi kwa ajili ya kuwasabahi wakazi wa mkoa wa Ruvuma waliojitokeza barabarani ikiwa ni ishara ya upendo baada ya kupokelewa kijiji cha  Lukumbulu ambacho kipo mpakani kati ya  mkoa wa Njombe na Mkoa wa Ruvuma
Mhashamu Baba Askofu mkuu mteule Damian Denis Dallu akiwa katika lango kuu la nyumba ya Askofu katika kanisa kuu la Mt.Mathias Mulumba Kalemba lililopo Mjini Songea
Waseminari kutoka Seminari kuu ya Peramiho wakitumbuiza katika mapokezi ya Mhashamu Baba Askofu mkuu mteule Damian Denis Dallu alipo wasili katika kanisa kuu la Mt. Mathias Mulumba Kalemba .
Baadhi ya waumini na wananchi waliojitokeza jioni hii katika mapokeze ya Mhashamu Baba Askofu mkuu
MHASHAMU BABA ASKOFU MKUU MTEULE DAMIAN DENIS DALLU APOKEWA KWA SHANGWE SONGEA MHASHAMU BABA ASKOFU MKUU MTEULE DAMIAN DENIS DALLU APOKEWA KWA SHANGWE SONGEA Reviewed by crispaseve on 02:25 Rating: 5

No comments

Post AD