Header AD

NORWAY NA ZANZIBAR ZATILIANA SAINI UJENGWAJI WA WODI MPYA YA WATOTO HOSPITAL YA MNAZI MMOJA

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dk. Mohammed Jidawi na Afisa Mtendaji Mkuu wa Chuo Kikuu cha Helse Bergen kiliopo Haukelang Norway Dkt. Stener Kvinnsland wakitia saini makubaliano ya ujenzi wa Wodi mpya ya watoto eneo la Mnazi mmoja wakishuhudiwa na Balozi wa Norway Nchini Tanzania Bi. Ingunn Klepsvik alieva miwani.
Balozi wa Norway Nchini Tanzania Bi. Ingunn Klepsvik akizungumza na viongozi wa Wizara ya Afya waliongozwa na Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dk. Mohammed Jidawi mara baada ya utiaji saini makubaliano ya ujenzi wa Wodi ya watoto eneo la Mnazi mmoja, utakaoghari bilioni moja na milioni miasita za kitanzania mpaka kumalizika kwake.
Balozi wa Norway Nchini Tanzania Bi. Ingunn Klepsvik wakiteta jambo na Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dk. Mohammed Jidawi mara baada ya utiaji saini makubaliano ya ujenzi wa Wodi mpya ya watoto Hospitali ya Mnazi mmoja.
NORWAY NA ZANZIBAR ZATILIANA SAINI UJENGWAJI WA WODI MPYA YA WATOTO HOSPITAL YA MNAZI MMOJA NORWAY NA ZANZIBAR ZATILIANA SAINI UJENGWAJI WA WODI MPYA YA WATOTO HOSPITAL YA MNAZI MMOJA Reviewed by crispaseve on 01:19 Rating: 5

No comments

Post AD