NORWAY NA ZANZIBAR ZATILIANA SAINI UJENGWAJI WA WODI MPYA YA WATOTO HOSPITAL YA MNAZI MMOJA
Katibu
Mkuu Wizara ya Afya Dk. Mohammed Jidawi na Afisa Mtendaji Mkuu wa Chuo
Kikuu cha Helse Bergen kiliopo Haukelang Norway Dkt. Stener Kvinnsland
wakitia saini makubaliano ya ujenzi wa Wodi mpya ya watoto eneo la Mnazi
mmoja wakishuhudiwa na Balozi wa Norway Nchini Tanzania Bi. Ingunn
Klepsvik alieva miwani.
Balozi
wa Norway Nchini Tanzania Bi. Ingunn Klepsvik akizungumza na viongozi
wa Wizara ya Afya waliongozwa na Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dk. Mohammed
Jidawi mara baada ya utiaji saini makubaliano ya ujenzi wa Wodi ya
watoto eneo la Mnazi mmoja, utakaoghari bilioni moja na milioni miasita
za kitanzania mpaka kumalizika kwake.
Balozi
wa Norway Nchini Tanzania Bi. Ingunn Klepsvik wakiteta jambo na Katibu
Mkuu Wizara ya Afya Dk. Mohammed Jidawi mara baada ya utiaji saini
makubaliano ya ujenzi wa Wodi mpya ya watoto Hospitali ya Mnazi mmoja.
NORWAY NA ZANZIBAR ZATILIANA SAINI UJENGWAJI WA WODI MPYA YA WATOTO HOSPITAL YA MNAZI MMOJA
Reviewed by crispaseve
on
01:19
Rating:
Post a Comment