Header AD

PSPF YATOA MSAADA WA MADAWATI 100 KWA SHULE ZA MSINGI


Afisa Mfawidhi Mfuko wa Pensheni kwa watumishi (PSPF)Mkoa wa Iringa, Baraka Jumanne akizungumza na waalimu wa Shule za Msingi tatu Mufindi Kaskazini(hawapo pichani) kabla ya kukabidhi madawati 100 yaliyotolewa na mfuko huo.
Afisa Mfawidhi PSPF Iringa,Bakari Jumanne akimkabidhi Mkuu wa Wilaya Mufindi Evarista Kalalu Madawati miamoja kwa ajili ya Shule za Msingi Mjimwema, Mamba na Nyamalala yenye thamani ya sh. milioni 5 katika hafla iliyofanyika kwenye ukumbi wa Halmashauri ya wilaya Mufindi.
Baadhi ya madawati yakiwa ndani ya lori kabla ya kukabidhiwa kwa shule za msingi 3 za Mufindi Kaskazini.(picha zote na Denis Mlowe).
PSPF YATOA MSAADA WA MADAWATI 100 KWA SHULE ZA MSINGI PSPF YATOA MSAADA WA MADAWATI 100 KWA SHULE ZA MSINGI Reviewed by crispaseve on 01:22 Rating: 5

No comments

Post AD