Header AD

Mama Mzazi wa Mhe Zitto Kabwe Afariki dunia



Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mhe Zitto Kabwe akiwa na mama yake Mama  Bi. Shida Salum, enzi za uhai wake. Mhe. Zitto kupitia mtandao wa Twitter amearifu kuwa mama yake amefariki dunia leo.

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Walemavu Tanzania (CHAWATA).Bi Shida Salun,na Mjumbe wa kamati Kuu ya chama cha CHADEMA,aliyekuwa amelazwa chumba cha Wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalum (ICU),katika Hospitali ya AMI,Masaki jijini Dar,ameaga Dunia.
Reviewed by crispaseve on 06:12 Rating: 5

No comments

Post AD