TAARIFA YA KIFO/MSIBA WA BABA MZAZI WA BEATRICE SINGANO
MAREHEMU MAREHEMU NI MAURICE NOEL SINGANO
Bibi
Maria Singano wa Sahare Tanga anasikitika kutangaza kifo cha mume wake
mpendwa Lt Col (Rtd)Maurice Noel Singano kilichotokea Chennai India
tarehe 31/05/2014.
Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa mtoto wake Mikocheni B,Dar es salaam.
Kutakuwa na Misa siku ya Alhamisi kanisa la Mt. Martha Mikocheni Dar es salaam.Mazishi yanatarajiwa kufanyika siku ya Ijumaa tarehe 6/6/2014 Tanga.
Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa mtoto wake Mikocheni B,Dar es salaam.
Kutakuwa na Misa siku ya Alhamisi kanisa la Mt. Martha Mikocheni Dar es salaam.Mazishi yanatarajiwa kufanyika siku ya Ijumaa tarehe 6/6/2014 Tanga.
BLOG HII INATOA SALAM ZA POLE KWA FAMILIA NZIMA, NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI WOTE
...BWANA AMETOA NA BWANA AMETWA JINA LA BWANA LIBARIKIWE
TAARIFA YA KIFO/MSIBA WA BABA MZAZI WA BEATRICE SINGANO
Reviewed by crispaseve
on
06:11
Rating:
Reviewed by crispaseve
on
06:11
Rating:


Post a Comment