ALI KIBA VS DIAMOND WANAGOMBEA UFALME
INAWEZEKANA lisiwe
jibu sahihi lakini kwa kiasi fulani linatoa picha juu ya kinachoendelea
kwenye ulimwengu wa Bongo Fleva, kila kona gumzo ni juu ya nani mkali
kimuziki kati ya Diamond Platnumz dhidi ya Ali Kiba.
Nasibu
Abdul ‘Diamond’ ndiye staa kwa sasa na amedumu kileleni kwa miaka
kadhaa, hilo halina ubishi, lakini Ali Kiba amerejea kwa kutoa nyimbo
mbili za Kimasomaso na Mwana baada ya ukimya wa miaka kadhaa,
ukijumlisha vijembe ambavyo wanapigana wawili hao kwenye vyombo vya
habari, gumzo limekuwa kubwa juu ya nani ni mkali kati yao kimuziki.
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI»
ALI KIBA VS DIAMOND WANAGOMBEA UFALME
Reviewed by crispaseve
on
09:20
Rating:
Post a Comment