Mbunge wa jimbo la Ukonga Eugen Mwaiposa akabidhi kombe kwa washindi wa shindano la Airtel Rising Stars
Mbunge wa jimbo la Ukonga
Eugen Mwaiposa akimkabidhi kombe la ubingwa nahodha wa timu ya Ilala Academy
Maisala Adam baada ya timu hiyo kuibuka mabingwa wa Airtel Rising Stars mkoa wa
kisoka wa Ilala juzi.
Mbunge wa jimbo la Ukonga
Eugen Mwaiposa akimkabidhi kombe la ubingwa nahodha wa timu ya Temeke All Stars
Maulid Jamal baada ya timu hiyo kuibuka mabingwa wa Airtel Rising Stars mkoa wa
kisoka wa Temeke juzi.
Mbunge wa jimbo la Ukonga
Eugen Mwaiposa akimkabidhi kombe la ubingwa nahodha wa timu ya Kinondoni
Academy Jafali Said baada ya timu hiyo kuibuka mabingwa wa Airtel Rising Stars
mkoa wa kisoka wa Kinondoni juzi.
Mbunge wa jimbo la Ukonga Eugen Mwaiposa akabidhi kombe kwa washindi wa shindano la Airtel Rising Stars
Reviewed by crispaseve
on
08:56
Rating:
Post a Comment