Header AD

MADAKTARI WA MACHO KUTOKA SHIRIKA LA SPACSAVER WACHUNGUZA MATATIZO YA MACHO KIEMBESAMAKI ZANZIBAR.

 Wananchi wa Jimbo la Kiembesamaki wakiwa katika mistari wakisubiri huduma ya kupima macho inayotolewa kwa ushirikiano na madaktari kutoka Shirika la Spacsaver la Sweeden na madaktari wa Hospitali Kuu ya Mnazimmoja katika Skuli ya  Sekondari ya Kiembesamaki.
 Daktari wa macho kutoka Shirika la Spacsaver Petter Daniesin akimfanyia vipimo  mtoto  Sabrina Abdalla Salum katika zoezi linalofanyika  Skuli ya Sekondari ya Kiembesamaki.
Daktari wa Shirika la Spacsaver Ingrid Stenersen akimfanyia uchunguzi mmoja ya wananchi wa Jimbo la Kiembesamaki waliofika Skuli ya Sekondari ya eneo hilo kupatiwa huduma ya macho. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.
MADAKTARI WA MACHO KUTOKA SHIRIKA LA SPACSAVER WACHUNGUZA MATATIZO YA MACHO KIEMBESAMAKI ZANZIBAR. MADAKTARI WA MACHO KUTOKA SHIRIKA LA SPACSAVER WACHUNGUZA MATATIZO YA MACHO KIEMBESAMAKI ZANZIBAR. Reviewed by crispaseve on 07:56 Rating: 5

No comments

Post AD