WAFANYAKAZI WA RADIO 5 WANOLEWA NA BBC MEDIA ACTION

Mkufunzi
mwandamizi Pendael Omari wa shirika lisilo la kiserikali la BBC Media
Action akiwa anatoa ufafanuzi katika mafunzo hayo yaliyokuwa yakifanyika
katika ofisi za Radio 5,mafunzo hayo yalidumu kwa takribani wiki mbili
Mtangazaji
maarufu wa kituo hicho Ernest Matundiro a.k.a Prince de la ville
kushoto akiwa anaandika vipengele muhimu katika uandishi wa habari,kulia
ni Mhariri wa kituo hicho Monica Nangu.
WAFANYAKAZI WA RADIO 5 WANOLEWA NA BBC MEDIA ACTION
Reviewed by crispaseve
on
08:54
Rating:
Post a Comment