Header AD

JAPAN YACHANGIA SH. MILIONI 160 SHULE YA MSINGI KAKUNI

 


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akishuhudia utiiaji saini   wa makubaliano ya Japan ya msaada wa Japan wa shilingi milioni 160    kwa ajili ya ujenzi wa Shule ya Awali ya Kakuni wilayani Mlele Machi 6, 2015 kwenye ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu jijini Dar es salaam.   Waliotia saini makubaliano hayo ni Kaimu balozi wa Japan nchini,Kazuyoshi Matsunaga (kuahoto) na  Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri ya Wilaya ya Mlele, William Mwakalambile  (kulia).  Waliosimama  kutoka kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Dkt. Ibrahim Mzengi, Katibu Tawala wa Mkoa huo, Mhandisi Kalobelo na Kulia ni  Afisa Mipango wa wilaya ya Mlele, Seif Mohamed Makome.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
pi2
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Kaimu Balozi wa Japan Nchini, Kazuyoshi Matsunaga   baada ya kushuhudi utiaji saini wa makubaliano ya Japan ya msaada Japan wa shilingi milioni 160    kwa ajili ya ujenzi wa Shule ya Awali ya Kakuni wilayani Mlele Machi 6, 2015 kweye ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu jijini Dar es
salaam. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
pi3
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akiwa katika picha ya pamoja  na Kaimu Balozi wa Japan nchini, Kazuyoshi Matsunaga (kulia kwake) baada ya kushuhudi utiaji saini wa makubaliano ya  msaada wa  Japan wa  shilingi milioni 160    kwa ajili ya ujenzi wa Shule ya Awali ya Kakuni wilayani Mlele Machi 6, 2015 kweye ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu jijini Dar es salaam. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa katavi, Dkt. Ibrahim Mzengi na wapili kulia ni Katibu Tawala wa Mkoa huo, Mhandisi Kalobelo. Wapili kulia ni Kaimu  Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Mlele, William Mwakalambile.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
JAPAN YACHANGIA SH. MILIONI 160 SHULE YA MSINGI KAKUNI JAPAN YACHANGIA SH. MILIONI 160 SHULE YA MSINGI KAKUNI Reviewed by crispaseve on 12:09 Rating: 5

No comments

Post AD