Header AD

BREAKING NEWZZZ:- RAIS KAGAME APATA AJALI KENYA LIVE!!


Watu wawili wamejeruhiwa katika ajali iliyohusisha mojawapo ya magari ya msafara wa magari ya Rais Paul Kagame nchini Kenya.Rais Mwenyewe hata hivyo hakujeruhiwa katika ajali hiyo iliyotokea saa mbili asubuhi katika eneo la Limuru eneo la Kati mwa Kenya.Gari hilo hata hivyo lilipoteza mwelekeo likiwa mbali na msafara wenyewe.Dereva wa gari hilo alipoteza mwelekeo katika barabara kuu ya Nairobi-Limuru.Waliojeruhiwa walipelekwa hospitalini.Rais Kagame alikuwa anarejea mjini Nairobi kutoka katika kongamano la magavana wa Kenya mjini Naivasha katika bonde la ufa .Kwa sasa Kagame anakutana na Rais Uhuru Kenyatta katika Ikulu ya Rais.Kagame alialikwa...
BREAKING NEWZZZ:- RAIS KAGAME APATA AJALI KENYA LIVE!! BREAKING NEWZZZ:- RAIS KAGAME APATA AJALI KENYA LIVE!! Reviewed by crispaseve on 04:35 Rating: 5

No comments

Post AD