Header AD

MAWAZIRI WAANZA KWA TAMBO, MWANZA WAPONDA UTEUZI


Mhe. Mwigulu Lameck NCHEMBA Naibu Waziri wa Fedha na Mhe. Adam Kighoma Ali MALIMA (Mb) Naibu Waziri wa Fedha na baadhi ya wafanyakazi wa Wizara ya fedha. (PICHA NA IKULU) MAWAZIRI na manaibu waziri walioteuliwa kushika nafasi mbalimbali jana waliapishwa na Rais Jakaya Kikwete katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es Salaam, huku baadhi yao wakianza na tambo za uwajibikaji  na wengine wakiomba ushirikiano wa karibu kutoka kwa wadau ili waweze kutimiza majukumu yao. Rais Kikwete na Mhe. Mathias Meinrad CHIKAWE (Mb) Waziri wa Mambo ya Ndani wakiwa na wakuu wa vyombo vilivyo chini ya Wizara ya...
MAWAZIRI WAANZA KWA TAMBO, MWANZA WAPONDA UTEUZI MAWAZIRI WAANZA KWA TAMBO, MWANZA WAPONDA UTEUZI Reviewed by crispaseve on 04:33 Rating: 5

No comments

Post AD