P-SQUARE WAMZIKA BABA YAO, WAMWAGA MINOTI MSIBANI

Peter na Paul Okoye wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa marehemu baba yao
chifu Moses Okoye, baba mzazi wa Peter na Paul Okoye wa kundi
la P-square, amezikwa katika mji aliozaliwa wa Ifitedunu uliopo katika
jimbo la Anambara.
Safari yake ya mwisho ilianzia nyumbani siku ya Alhamisi
ikisindikizwa na huduma ya nyimbo. Baada ya tukio hilo, P-Square
walifanya ziara ya heshima kwa watawala wa kijiji
Marehemu Mzee Okoye mbaye alifariki Dunia Novemba 25 mwaka
jana, amepumzishwa katika makazi yake ya milele leo Ijumaa(Jan30),
baada ya kufanyiwa misa maalum katika kanisa la katoliki la mtakatifu
Gabriel lililopo Ifitedunu.
Tazama picha za mazishi hapo chini

P-Square na wake zao wakisikiliza kwa makini busara za mzee wa kaya

Kikosi cha matarumbeta kikisindikiza msafara wa mazishi kuelekea kanisani kwa misa maalum kwa ajili ya marehemu

Peter na Paul Okoye wakiwa katika nyuso za huzuni
Peter na Paul Okoye wakiwa katika nyuso za huzuni

P-Square na wake zao wakiwa katika hali ya majonzi

Paul Okoye na mke wake Anitha wakifarijiana

Watoto wa Marehemu na wake zao wakiwa katika nyuso za majonzi

Gari lililobeba mwili wa marehemu likielekea kanisani

Kikosi kazi cha Tarumbeta kikitumbuiza huku mwili wa marehemu ukiingizwa kanisani kwa mbwembwe

Mchungaji wa kanisa katoliki la Mtakatifu Gabriel akitoa neno

Ulinzi wa uhakika ulikuwepo kanisani na nyumbani katika kuhakikisha usalama wa wafiwa
Watuwakiwakanisakwaajili ya misamaalum ya kumuombeamarehem
Watuwakiwakanisakwaajili ya misamaalum ya kumuombeamarehemu

Mke wa Peter Okoye, Lola akisalimiana na wakwe zake msibani

Wajukukuu na watoto wa marehemu wakipata ukodaki – Huyu wa kati lazima atakuwa mtu mzima ovyo

Waombolezaji wakiwa wametupia tshirt maalum za kuomboleza

Mr & Mrs Paul Okoye wakipata ukodaki baada ya mazishi

Wa kwanza kulia ni Paul Okoye, Peter, Ukwa na kaka yao Jude

Paul na mke wake wakiwa msibani

Paul Okoye akimwaga minaira katika msiba wa baba yake

P-SQUARE WAMZIKA BABA YAO, WAMWAGA MINOTI MSIBANI
Reviewed by crispaseve
on
02:22
Rating:

Post a Comment