D’BANJ AJIGONGA KWA MPENZI WA ZAMANI
INAVYOONEKANA bado mwanamuziki D’ Banj analo penzi
la kweli kwa mpenzi wake wa zamani, Adama Indimi baada ya juzikati
kujigonga kwake kwa kumtumia ujumbe mzuri mama wa demu huyo katika siku
yake ya kuzaliwa.
Jamaa alifanya hivyo kupitia mtandao wa Instagram ambapo mbali na
kumtakia heri ya kuzaliwa, pia alimuelezea mama huyo kama mkarimu na
mpenda watu.
D’BANJ AJIGONGA KWA MPENZI WA ZAMANI
Reviewed by crispaseve
on
03:37
Rating:

Post a Comment