Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad Atembelewa na Ujumbe wa Umoja wa Mataifa
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akiagana na kiongozi wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa Bw.
Akinyemi Adegbola baada ya mazungumzo yao huko Ofisini Kwake Migombani
Zanzibar. Kushoto ni Mjumbe wa Umoja huo ofisi ya Zanzibar bibi Njeri
Kamau.
Makamu
wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akisisitiza
jambo wakati wa mazungumzo yake na ujumbe wa Umoja wa Mataifa huko
Ofisini Kwake Migombani Zanzibar. Kushoto ni kiongozi wa ujumbe huo Bw.
Akinyemi Adegbola.Picha, Salmin Said-Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar
Reviewed by crispaseve
on
09:31
Rating:
Post a Comment