MHE.SUGU AWAHITA WANACHAMA WALIOVULIWA VYEO NA KAMATI KUU CHADEMA MASNITCHES.
Mbunge machachari anayewakilisha jimbo la Mbeya mjini
Mhe.Joseph Mbilinyi A.K.A SUGU kupitia tiketi ya CHADEMA ameonyesha
kufurahishwa na maamuzi yaliyotolewa na kamati kuu ya chama chake dhidi
ya Mbunge wa Kigoma kaskazini Mhe.Zitto Kabwe, Dkt. Kitilia Mkumbo na
Samson Mwigamba kuvulia nyadhifa zao zote ndani ya chama, kupitia
akaunti yake ya mtandao wa kijamii wa facebook mhe.Sugu aliweza kuandika
maneno haya.
MHE.SUGU AWAHITA WANACHAMA WALIOVULIWA VYEO NA KAMATI KUU CHADEMA MASNITCHES.
Reviewed by crispaseve
on
13:06
Rating:
Post a Comment