NICK MINAJ HUMWAMBII KITU KUHUSU MWANAUME HUYU, NDIYE ALIYEMFIKISHA HAPO ALIPO LEO..
Safaree Samwel na Nick Minaj
Diva asiyehishiwa vituko kutoka Crew tajiri ya Young Money
hapa namzungumzia bi mdada ‘Onika Tanya Maraj ‘ anayefahamika kwa jina
la stage NICK MINAJ ambaye amekuwa akimake headlines kwenye vyombo vya
habari na mitandao mbalimbali ya kijamii kutokana na staili yake ya
uimbaji, mavazi, muonekano na vituko anapokuwa stejini, & Once a
fame got to Nick Minaj ameamua funguka LIVE kuhusiana BF wake ambaye ni
brazameni na mkali wa kutupia anayeitwa ‘Safaree Llyod Samweli’ A.K.A
‘Scuff Beezy’ kuwa ndiye mwanaume wa maisha yake na ndiye aliyemfikisha
hapo alipo kabla ya duniani kumjua Nick Minaj ni nani.
Chanzo kimoja kutoka majuu kinachoandika habari za mastaa
kilieleza kwamba katika kudhihirisha ukweli wa kauli aliyotoa Minaj hivi
karibuni mpenzi wake huyo aliamua kumaliza utata baada ya kuchora
tattoo yenye picha ya Nick Minaj katika mkono wake wa kulia kitendo
kilichotafsiriwa kwamba ni jinsi gani wawili hao wanavyopendana na
kushibana.
Katika picha ni Tattoo mpya aliyochora BF wake huyo yenye sura ya Nick Minaj.
Tazama Video ya jamaa akichorwa Tattoo yenye picha ya Nick Minaj.
NICK MINAJ HUMWAMBII KITU KUHUSU MWANAUME HUYU, NDIYE ALIYEMFIKISHA HAPO ALIPO LEO..
Reviewed by crispaseve
on
13:04
Rating:
Post a Comment