MTOTO WA UHURU KENYATTA ATOKA KIMAPENZI NA MJUKUU WA RAIS MSTAAFU WA KENYA ARAP MOI.
Taarifa zilizothibitishwa na chanzo kimoja cha habari kinachoandika
masuala ya mastaa kutoka nchini Kenya, zimedai kwamba yule mtoto wa
Rais Uhuru Kenyatta anayeitwa Muhoho Kenyatta ameamua kuweka wazi
mahusiano yake bila kujivunga na mrembo mmoja aliyefahamika kwa jina la
Tallisa ambaye ni mjukuu wa aliyekuwa Rais wa zamani wa Kenya Daniel
Arap Moi.
Kama wahenga wasemavyo ”Birds of a feather flock together and
impressively” mtoto huyo wa Prezida wa Kenya aliyejikita kwenye masuala
yanayohusu fashion hasa katika sekta ya ubunifu wa mavazi ambaye pia ni
mwanafunzi wa shule ya kimataifa ya Braeburn amekuwa akionekana akiwa
na Tallisa katika maeneo mbalimbali ya bata nchini Kenya na kupost picha
wakiwa pamoja kupitia mitandao ya kijamii. Unaweza ukawatazama katika
picha.
MTOTO WA UHURU KENYATTA ATOKA KIMAPENZI NA MJUKUU WA RAIS MSTAAFU WA KENYA ARAP MOI.
Reviewed by crispaseve
on
21:11
Rating:
Post a Comment