Serikali ya Tanzania imepokea msaada wa zaidi ya sh. bilioni sita (6) za Kitanzania ambazo ni sawa na Yen milioni 380 zilizotolewa na Serikali ya Japan kupitia Shirika lake la Kimataifa la Misaada (JAICA) .
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius
Likwelile (kushoto) akikabidilishana nakala ya makubaliano waliosainina na
Balozi wa Japan nchini Masaki Okanda (kulia) ambayo yanahusu msaada uliotolewa
na Serikali ya Japan kupitia Shirika la
Kimataifa la Japan (JAICA) leo jijini Dar es salaam.
Mwakilishi wa Mkuu wa
JAICA nchini Yasunori Onishi akikabidilishana nakala za mkataba uliosainiwa na
Balozi wa Japan nchini Masaki Okanda (kulia) na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha
Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) leo jijini Dar es salaam.
Serikali ya Tanzania imepokea msaada wa zaidi ya sh. bilioni sita (6) za Kitanzania ambazo ni sawa na Yen milioni 380 zilizotolewa na Serikali ya Japan kupitia Shirika lake la Kimataifa la Misaada (JAICA) .
Reviewed by crispaseve
on
13:37
Rating:
Post a Comment