Header AD

DAR LIVE YAFURIKA KATIKA KILELE CHA EFM BAR KWA BAR MUZIKI MNENE


Inspector Haroun 'Babu' akifanya makamuzi wakati wa kilele cha EFM Bar kwa Bar Muziki Mnene ndani ya Dar Lve jana.
Nyomi iliyohudhuria sherehe za kilele hicho.
Burudani mwanzo mwisho.
 
DJ mkongwe nchini, Majay Majizzo akifanya yake stejini na kupagawisha mashabiki vilivyo.
Babu aliamua kuvua viatu na kubaki peku baada ya burudani kukolea.
Ma DJ kutoka EFM wakitoa burudani.
DAR LIVE YAFURIKA KATIKA KILELE CHA EFM BAR KWA BAR MUZIKI MNENE DAR LIVE YAFURIKA KATIKA KILELE CHA EFM BAR KWA BAR MUZIKI MNENE Reviewed by crispaseve on 06:59 Rating: 5

No comments

Post AD