DAR LIVE YAFURIKA KATIKA KILELE CHA EFM BAR KWA BAR MUZIKI MNENE
Nyomi iliyohudhuria sherehe za kilele hicho.
Burudani mwanzo mwisho.
DJ mkongwe nchini, Majay Majizzo akifanya yake stejini na kupagawisha mashabiki vilivyo.
Babu aliamua kuvua viatu na kubaki peku baada ya burudani kukolea.
Ma DJ kutoka EFM wakitoa burudani.
DAR LIVE YAFURIKA KATIKA KILELE CHA EFM BAR KWA BAR MUZIKI MNENE
Reviewed by crispaseve
on
06:59
Rating:
Post a Comment