Header AD

MICHEZO YA BANDARI 2014 MJINI MTWARA YAFUNGLIWA RASMI

 Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mhe. Ponsiano Nyami akizungumza na wanamichezo wa Bandari.
Mwakilishi wa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TPA ambaye pia ni Mkurugenzi wa Rasilimali Watu, Bw. Peter Gawile akizungumza na wanamichezo wa Bandari.
 Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mhe. Ponsiano Nyami akiikagua timu ya Bandari ya Dar es Salaam kabla ya kuwavaa Bandari Mtwara.
Mchezo wa bao baina ya Makao Makuu na Bandari ya Mtwara.
 Timu ya kuvuta kamba kutoka Bandari ya Dar es Salaam wakimenyana na wenzao wa Bandari Mtwara.
 Timu ya kuvuta kamba kutoka Bandari Mtwara wakimenyana na wenzao wa Bandari ya Dar es Salaam.
 Timu kutoka Bandari za Maziwa ikiingia uwanjani.
MICHEZO YA BANDARI 2014 MJINI MTWARA YAFUNGLIWA RASMI MICHEZO YA BANDARI 2014 MJINI MTWARA YAFUNGLIWA RASMI Reviewed by crispaseve on 07:00 Rating: 5

No comments

Post AD