Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Lazaro Nyalandu, amesema habari zinazodai kuwa Serikali inataka kuwaondoa wakazi wa zaidi ya 40,000 katika eneo la Loliondo, Ngorongoro mkoani Arusha hazina ukweli wowote.

Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe.
Lazaro Nyalandu akijaribu kurusha mkuki alipotembelea eneo la Loliondo
wilayani Ngorongoro kukanusha uvumi juu ya kuondolewa kwa Jamii ya
Wamasai katika eneo hilo.

Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe.
Lazaro Nyalandu akiongea na Wamasai waliokusanyika kwa ajili ya kusikia
tamko la serikali juu ya uvumi wa kuondolewa kwa Jamii ya Wamasai
katika eneo hilo.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Lazaro Nyalandu, amesema habari zinazodai kuwa Serikali inataka kuwaondoa wakazi wa zaidi ya 40,000 katika eneo la Loliondo, Ngorongoro mkoani Arusha hazina ukweli wowote.
Reviewed by crispaseve
on
04:50
Rating:

Post a Comment